Saturday, June 14, 2014
TAARIFA KAMILI KUHUSU MLIPUKO WA BOMU VISIWANI ZANZIBAR ,MTU MMOJA APOTEZA MAISHA,WENGI WAJERUHIWA
Do you like this story?
Mtu
mmoja ameripotiwa kufariki huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi
la bomu kisiwani Zanzibar.
Baadhi
ya waathiriwa walikuwa wanaondoka katika msikiti mmoja ulioko katika mji mkuu
wa Stone Town.
Ni shambulizi la pili la bomu mwaka huu.Haijulikani ni nani aliyetekeleza shambulizi hilo ambalo linajiri mkesha wa sherehe za kimataifa za filamu katika kisiwa hicho.
Mnamo
mwezi February, mabomu mawili tofauti ya kujitengezea yalilipuliwa nje ya
kanisa Anglikana mjini Stone Town pamoja na mgahawa uliokuwa karibu na kanisa
hilo.
Kumekuwa
na hali ya wasiwasi wa kidini katika kisiwa hicho.
via>>bbc
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAARIFA KAMILI KUHUSU MLIPUKO WA BOMU VISIWANI ZANZIBAR ,MTU MMOJA APOTEZA MAISHA,WENGI WAJERUHIWA”
Post a Comment