Thursday, June 19, 2014
UFIKIRI WA VIONGOZI UMEGOTA.
Do you like this story?
Mbunge wa ringa mjini peter
msigwa(chadema) amesema ufikiri wa viongozi wa serikali umefikia mwisho ndio maana mambo hayanendi sawa.
Msigwa aliyasema hayo
bungeni jana wakati akichangia hotuba ya
bajeti ya wizara ya fedha mwaka wa fedha 2014/2015. Alisema tatizo kubwa
ni watu kupeana kazi kundugu bila kuwa na sifa.
Kwenye wizara kuna watu
hawana uwezo ndio maanda ile hamasa ya
kazi haiipo alisema msigwa.
Alisema serikali inakuwa
kama imeweka pamba masikioni kwani licha
ya suala hilo kupigiwa kelele bado haijaonyesha kushtuka.
Inakuwa kama katika biblia
farao alishupaza shingo walimshauri hakutaka kusikia mimi nisema kuwa tuna
tatizo mindset (ufikiri) kama itaifa
alisema.
Akishutumi CCM kuwa ndioyo
kimejenga utuamaduni wa kutoelezana
ukweli umeanzishwa na CCM na sasa
umeenea nchi nzima.
Walitka watafutwe watu
watakao hamasisha ufikiri kwa viongozi
wa serikali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “UFIKIRI WA VIONGOZI UMEGOTA.”
Post a Comment