Thursday, June 19, 2014
VODACOM YAWAANGUKIA WATEJA WA M- PESA
Do you like this story?
Kampuni ya simu za mkononiya
Vodacom imewaomba radhi wateja wake wanatumia
huduma ya mpesa kutokana na
hitilafu za kiufundi
zilizosababisha kusimama kwa huduma hiyo
kwa siku kadhaa.
Mkurugenzi mtendaji wa
Vodacom Tanzania, rene meza alisema dare s salaam jana : ninawaomba radhi wateja wetu ambao
wamekuwa na wakati mgumu kupata huduma ya M PESA
katika siku chache zilizopit. Tunatambua umuhimu wa huduma hii kwa hali iliyoyojitokeza ilikuwa nje ya uwezo
wetu na kamwe hatutaitarajia .
Meza alisema kilichotokea
kwenye mfumo wa M pesa ni changamoto
ambayo mfumo wowote unaotumia teknolojia inaweza kukumbana nayo bila kutarajia lakini jambo la muhimi ni
kwa jinsi gani mtoa huduma nabyoweza kujipanga kiutatua kwa haraka
kudhibiti madhara makubwa zaidi kwa wateja .
Kuhusu usalama wa fedha meza aliwahakikishia wateja wa Vodacom na
wabia wanaotumia huduma hiyo kwamba fedha
zote zipo salama na zinalindwa kwani kilichotkea ni wateja kushindwa kupta huduma hiyo kwenye simu zao
za mkononi na siyo tatizo kwenye mfumo
mzima wa M PESA.
Hakuna madhara ya kibiashara
kwetu ila kutokana na M pesa kuta
tegemeo kwa mamilioni ya watanzania ktika maisha yao ya kila siku ikiwa ndio
huduma kinara ya fedha kwa njia ya simu za mkonini ni wazi kwamba imeleta
sumbufu mkubwa kwa watumaji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “VODACOM YAWAANGUKIA WATEJA WA M- PESA”
Post a Comment