Thursday, June 19, 2014
WAZAZI WA BINTI ALIYEFARIKI DUNIA KWA UTATA WAFIKISHWA KORTINI
Do you like this story?
Muleba. WATU 12 wakiwamo wazazi wa mutumishi wa andani asela tripone (16) ambaye kifo chake kilizua tafrani katika kijiji cha bukono wilayani muleba mkoani kagera wmefikishwa katika mahakama ya wilaya hiyo wakituhumiwa kutenda makosa
matatu.
Mwendesha mashtaka jumanne
maatualidai kuwa watuhumiwa hao walivamia kijiji cha buyongo juni 16 saa 11 jioni cha kuchoma nyumba mbili na
kukatakata mazao mbalimbali katika shamba la valentine mazimilan
wakimtuhumu kwa imani za ushirikina.
Wazazi wa binti huyo
triphone basheka na mkewe georgina
triphone na mwenzao wanadaiwa kula njama na kuharibu mali ambayo thamni yake haijafahamika na
uchochezi na kusababisha waliokuwa ndani ya nyumba hizo kukosa mahali
pa kuishi na kupoteza mali zao.
Katika tukio hilo watu zaidi
ya 60 walikamatwa na baada ya kuhojiwa
12 walifunguliwa mashtaka hayo.
Hakimu mfawidhi wa mahakama
hiyo cheloface wane alisema dhamana iko wazi
lakini wathakiwa hao ambao walikana mashtaka walishindwa kutimiza mashrti ya dhamana na
kuplekwa rumande hadi kesho.
Wakti huo huo jeshi la
polisi lina mtafuta mwanamke mmoja mkazi wa muleba kwa tuhuma za kuchochea wnanchi kuvunja chumba cha kuhifadhi maiti cha kituo cha afya kaigara na kuchukua mwili wa mtoto huyo kwa
madai kuwa ulikuwa hauna viwango
mbalimbali.
Mwanamke huyo anayedaiwa
kuwa shangazi w amarehemu anadaiwa kuwahamasisha wnafamilia kugoma kuzika mwili
wa binti huyo kwamba hali hiyo ilihatarisha usalama wa raia.
Hata hivyo mwili wa binti
huyo ulizikwa jumatatu iliyopita bila jeneza wkati lile lilotumika
kkuusafirisha kutoka arushsa likibebwa
na wnanchi kutekelezwa nyumbani kwa alisyekuwa mwajiri wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WAZAZI WA BINTI ALIYEFARIKI DUNIA KWA UTATA WAFIKISHWA KORTINI”
Post a Comment