Friday, July 25, 2014
MAADHIMISHO YA SIKU YA KUWAKUMBUKA MASHUJAA JIJINI MBEYA YAFANA.
Do you like this story?
![]() |
| Mnala wa Kumbukumbu wa mashujaa jijini Mbeya |
![]() |
| Wanajeshi wakiwa wamesimama kwa ukakamavu wakiimba wimbo Maalumu |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw Abbas Kandoro akiweka Ngao ya ishara ya kuwakumbuka wanajeshi katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa Jijini Mbeya. |
![]() |
| Meya wa jiji la Mbeya Bw Atanasi Kapunga akiweka Mshare kwenye kumbukumbu ya kuwakumbuka mashujaa |
![]() |
| Mmoja wa wazee waliopigana Vita Kuu Ernest Waya(92)akiwa ameshikiliwa kwenda kuweka Shoka kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa |
![]() |
| Chifu wa mkoa wa Mbeya Roketi Mwashinga akiweka shada la maua |
![]() | ||||
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw Abbas Kandoro akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Chunya Ndugu Deodatusi kinawilo. |
Picha na Fahari News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


















0 Responses to “ MAADHIMISHO YA SIKU YA KUWAKUMBUKA MASHUJAA JIJINI MBEYA YAFANA.”
Post a Comment