Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya akipata maelezo ya Banio la mradiwa umwagiliaji wa Katela-Ntaba.wakati akikagua Miradi ya Ujenzi Busokelo,Rungwe Mashariki, mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
(Kazi maalumu) Profesa Mark Mwandosya (wa tano kulia) akipata maelezo
kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ntaba, Bi. Rebecca Hyera (wa nne
kulia) kuhusu sehemu yaMradi wa Umwagiliaji maji wa Katela - Ntaba ambapo limejengwa ghala la mazao ya mpunga nakakao.
0 Responses to “MWANDOSYA AKAGUA MIRADI YA UJENZI BUSOKELO, RUNGWE MASHARIKI, MKOANI MBEYA.”
0 Responses to “MWANDOSYA AKAGUA MIRADI YA UJENZI BUSOKELO, RUNGWE MASHARIKI, MKOANI MBEYA.”
Post a Comment