Friday, October 23, 2015
JESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA
Do you like this story?
Akizungumza na waandishi wa habari Makao
Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa
ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi
na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita salama katika kipindi hiki cha
kupiga kura, kuhesabu na kutangaza matokeo ya uchaguzi.
Ametoa rai kwa wananchi kujitokeza kupiga
kura siku hiyo bila wasiwasi wa aina yoyote ili kuweza kutumia haki yao ya
kikatiba kuchagua viongozi.
(Picha na Francis Dande
(Picha na Francis Dande
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “JESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA”
Post a Comment