Monday, October 26, 2015

RAIS KIKWETE KUKABIDHI NCHI NOVEMBA 5




Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa Tarehe 5 Mwezi November 2015 atakuwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais ameyasema hayo alipokuwa akipiga kura katika jimbo la Chalinze-Msoga ambapo aliambatana na mkewe Mama Salma Kikwete

0 Responses to “ RAIS KIKWETE KUKABIDHI NCHI NOVEMBA 5”

Post a Comment

More to Read