Friday, December 18, 2015
BASI LA NEW FORCE KUTOKA MBEYA KWENDA DAR ES SALAAM LAPINDUKA MKOANI IRINGA
Do you like this story?
Inasadikika
watu kadhaa wamepoteza Maisha na wengine wamejeruhiwa leo
baada ya basi la New Force kupata ajali Eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani
Iringa barabara kuu ya Iringa- Dar es salaam
Basi
hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam ambapo lilipata
ajali mchana huu jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi
kupeleka hospitali zinaendelea, Bado kamanda wa polisi mkoani Iringa
Kamanda Peter Kakamba anatafutwa ili kuthibitisha tukio hilo na kuelezea idadi
ya waliofariki na majeruhi katika ajali hiyo.
kwa Habari zaidi endelea kutembelea www.Faharinews.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)



0 Responses to “BASI LA NEW FORCE KUTOKA MBEYA KWENDA DAR ES SALAAM LAPINDUKA MKOANI IRINGA”
Post a Comment