Thursday, January 21, 2016

JESHI LA POLISI LAFANYA ZOEZI LA KUZUIA UJAMBAZI MBEYA TANZANIA.




Jeshi la polisi mkoani mbeya Tazanzania limefanya zoezi la kushtukiza kujiweka tayari kuzuia ujambazi wa mabenki zoezi hilo liliongozwa na Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya Ahmed Z Msangi .

pamoja na zoezi hilo kuwashtua wananchi waliokuwa wakipata huduma katika Banki mojawapo mkoani humo bado wananchi hao wamesifu hatua hiyo ya jeshi la polisi Tanzania.
Chanzo>>Jichoduniani.blogspot.com

0 Responses to “JESHI LA POLISI LAFANYA ZOEZI LA KUZUIA UJAMBAZI MBEYA TANZANIA. ”

Post a Comment

More to Read