Thursday, January 21, 2016
JESHI LA POLISI LAFANYA ZOEZI LA KUZUIA UJAMBAZI MBEYA TANZANIA.
Do you like this story?
Jeshi
la polisi mkoani mbeya Tazanzania limefanya zoezi la kushtukiza kujiweka tayari
kuzuia ujambazi wa mabenki zoezi hilo liliongozwa na Kamanda wa polisi mkoa wa
mbeya Ahmed Z Msangi .
pamoja na zoezi hilo kuwashtua wananchi waliokuwa wakipata huduma katika Banki mojawapo mkoani humo bado wananchi hao wamesifu hatua hiyo ya jeshi la polisi Tanzania.
pamoja na zoezi hilo kuwashtua wananchi waliokuwa wakipata huduma katika Banki mojawapo mkoani humo bado wananchi hao wamesifu hatua hiyo ya jeshi la polisi Tanzania.
Chanzo>>Jichoduniani.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “JESHI LA POLISI LAFANYA ZOEZI LA KUZUIA UJAMBAZI MBEYA TANZANIA. ”
Post a Comment