Thursday, January 28, 2016
KIVUKO CHA MTO KILOMBERO CHAZAMA
Do you like this story?
Kivuko cha mto
Kilombero mkoani Morogoro kimezama kikiwa na abiria zaidi ya 30 na magari
yapatayo watatu
Habari kutoka
Kilombero zilizothibitishwa na mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bw Leph Gembe
zinadai kuwa ajali hiyo imetokea jana Majira ya saa 1 usiku wakati kivuko hicho
kikitokea Ulanga.
Alisema kuwa
Jumla ya watu zaidi ya 30 ndio walikuwepo katika kivuko hicho na kuwa jitihada
za uokoaji zilifanyika na watu zaidi 29 waliokolewa
Alisema chanzo
cha ajali hiyo ni upepo Mkali na mawimbi makali yaliyopelekea kivuko hicho
kuzama na kuwa hadi sasa bado taarifa kamili kupatikana na pindi atakapopata
habari kamili atazitoa
Mkuu huyo
alisema kwa sasa yupo jijini Dar es Salaam kwa matibabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “KIVUKO CHA MTO KILOMBERO CHAZAMA ”
Post a Comment