Saturday, March 12, 2016
ANGALIA REFA WA CHINA ALICHOMFANYIA DEMBA BA (Video)
Do you like this story?
Shanghai
SIPG na Shanghai Shenhua walipambana kwenye mchezo wa ligi ya China jana Ijumaa
huku mechi hiyo ikiwa na jumla ya washambuliaji watatu kutoka Afrika; Demba Ba,
Obafemi Martins pamoja na Asamoah Gyan.
Akiwa
amekosa penati katika kipindi cha kwanza, mambo yaliendelea kuwa magumu kwa
mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na Newcastle United Demba Ba.
Akiwa
anajiandaa kuruka ili kupiga mpira kwa kichwa mapema kipindi cha kwanza, Ba
alijikuta anatupwa chini na mwamuzi wa pambano hilo ambaye alikuwa anakimbia na
kukaa kwenye nafasi ambayo alikuwepo Ba.
Cheki
video hapa ushuhudie tukio zima lilivyokuwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ANGALIA REFA WA CHINA ALICHOMFANYIA DEMBA BA (Video)”
Post a Comment