Saturday, March 5, 2016
EPL: SANCHEZ AIOKOA ARSENAL DHIDI YA TOTTENHAM, WATOA SARE YA GORI 2-2
Do you like this story?
Tottenham
imeshindwa kutumia uwanja wake wa nyumbani wa White Hart Line dhidi ya
mahasimu wao wa jiji la London, Arsenal baada ya kutoka sare ya goli
mbili kwa mbili.
Magoli
ya Tottenham katika mchezo huo yalfungwa na Toby Alderweireld dakika ya
60 na Harry Kane dk. 62 na magoli ya Arsenal yalifungwa na Aaron Ramsey
dakika ya 39 na Alexis Sanchez katika dakika ya 76.
Baada
ya matokeo hayo Tottenham imefikisha alama 55 ikiwa nafasi ya pili na
Arsenal ikifikisha alama 52 ikiwa nafasi ya tatu, zote zikiwa
zimeshacheza michezo 29.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ EPL: SANCHEZ AIOKOA ARSENAL DHIDI YA TOTTENHAM, WATOA SARE YA GORI 2-2”
Post a Comment