Monday, March 14, 2016
MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LINGINE, KLABU YAKE YA GENK IKIIBUKA NA USHINDI MNONO WA 4- 1>>TAZAMA VIDEO
Do you like this story?
Mtanzania
anayekipigia klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji ameendelea kuwika baada ya usiku
wa leo kuweza kuifungia moja ya mabao klabu yake hiyo ambayo iliibuka na
ushindi wa bao 4-1 dhidi ya wapinzani wao Oostende.
Ushindi huo wa leo
Machi 13.2016, Kwa Mtanzania Mbwana Samatta anakuwa anafikisha magoli mawili
(2) tokea alipojiunga na timu hiyo. Ushindi huo unakuwa wa pili dhidi ya Mbwana
Samatta tokea kujiunga na klabu hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ MBWANA SAMATTA ATUPIA BAO LINGINE, KLABU YAKE YA GENK IKIIBUKA NA USHINDI MNONO WA 4- 1>>TAZAMA VIDEO”
Post a Comment