Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na
Kimataifa, Mhe. Augustine Mahiga (kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Said Meck Sadiki (katikati) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya
Kinondoni Paul Makonda wakiteta jambo wakati wa kumpokea Rais wa
Vietnam, Mhe. Truong Tan Sang katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius K. Nyerere 08 Maachi, 2016 Jijini Dar es Salaam. |
0 Responses to “RAIS WA VIETNAM, MHE. TRUONG TAN SANG AWASILI TANZANIA”
Post a Comment