Saturday, March 12, 2016
RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA EPL LEO JUMAMOSI,MACHI 12
Do you like this story?
Ligi Kuu ya Uingereza
inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
Mchezo wa kwanza
Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika uwanja wa Carrow
Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45 kwa masaa ya Afrika
Mashariki.
Michezo mingine ni;
Bournemouth – Swansea
City 18:00 EAT
Stoke City –
Southampton 18:00 EAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA EPL LEO JUMAMOSI,MACHI 12”
Post a Comment