Monday, August 22, 2016

JESHI LA POLISI MKOA WA SINGIDA WAKIFANYA MAJARIBIO YA SILAHA




Baadhi ya askari polisi mkoani Singida, wametembeza silaha zao kwenye mitaa mbalimbali Singida mjini, kwa ajili ya kuwaonyesha wananchi silaha zilizonunuliwa kwa kodi zao. 

Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SSP Mayalla Towo, alisema zoezi hilo ni la kawaida na halina uhusiano na jambo lolote.(Picha na Nathaniel Limu).




0 Responses to “ JESHI LA POLISI MKOA WA SINGIDA WAKIFANYA MAJARIBIO YA SILAHA”

Post a Comment

More to Read