Wednesday, August 24, 2016
PICHA ZILIZOVUJA ZIKIDAIWA KUWA NI AIR TANZANIA ILIYONUNULIWA
Do you like this story?
Kuelekea
kutimia kwa ahadi ya Rais Magufuli kuhusiana na serikali kununua ndege mbili
aina ya Bombardier Q400 kutoka nchini Canada kwa dhumuni la kulipa nguvu zaidi
shirika la ndani la ndege ATCL.
Leo
mapema picha kadhaa zimeanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuonesha ndege
ambazo zimenunuliwa. Fahari News inaendelea kufuatilia kwenye mamlaka husika
ili kuweza kuthibitisha habari hizi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)




0 Responses to “PICHA ZILIZOVUJA ZIKIDAIWA KUWA NI AIR TANZANIA ILIYONUNULIWA”
Post a Comment