Tuesday, August 23, 2016
USAIN BOLT ATEMBEA NA MJANE WA MUUZA UNGA
Do you like this story?
Mwanariadha
maarufu Duniani Usain Bolt (30) ambaye ameweka historia katika mashindano ya
riadha kwa kushinda medali za zahabu katika mashindano ya mita 100, 200 na 4 x
100m ameingia katika kasha kubwa baada ya picha zake kuvuja akiwa na mwanafunzi
wa miaka 20, Lady Duarte ambaye pia aliwahi kuwa ni mpenzi wa muuza madawa wa
nchini Brazil Dina Terror.
Bolt ambaye
amekuwa akionesha maisha ya Furaha muda wote na mpenzi wake wa siku nyingi
(miaka 2) Kasi Bennett, ameishangaza dunia baada ya picha hizo kusambaa kwenye
mitandao ya kijamii.
Pamoja na
kumsapoti mchumba wake wa siku nyingi Kasi Bennett alifuta picha zote za Bolt kwenye
akaunti yake ya Twitter masaa machache
baada ya kusambaa kwa picha hizo na baadae kuifuta kabisa akaunti yake ya
Twitter.
Picha hizi zilipigwa
na Lady Duarte siku ya kuzaliwa kwa Bolt Jumapili iliyopita tarehe 21 ambapo
Bolt alkuwa akitimiza miaka 30.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

0 Responses to “USAIN BOLT ATEMBEA NA MJANE WA MUUZA UNGA ”
Post a Comment