Thursday, March 27, 2014
BREAKIN NEWZZZ:- MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA ALIYEWAHI KUWAITA CUF MASHOGA LEO AZUKA NA JIPYA NA KUAMRIWA KURIPOTI MARA MOJA KAMATI YA MAADILI YA BUNGE LIVE!!
Do you like this story?
Mbunge wa
Chadema John Wenje, aliyewahi kuwaita Wabunge wa CUF kuwa ni mashoga, leo
ameuza kizaa zaa cha ajabu bunge la Katiba baada ya kuwaita Wajumbe 201
wasiokuwa wabunge kwenye bunge la Katiba Dodoma kuwa ni wala rushwa na kwamba
wamekula rushwa kwa kupewa chakula, soda na bia na Mawaziri wa CCM.
Mwenyekiti
wa Bunge alipomtaka atoe ushahidi kama Sheria inavyosema, alishindwa kuutoa na
kuendelea kuleta ubishi wa kitoto ndipo Mwenyekiti wa Bunge hilo Mh. Mwenyekiti
alipomuamuru kwa mujibu wa Sheria za bunge hilo kuripoti mara moja kwa Kamati
ya maadili ya bunge hilo na huko atatakiwa kuonyesha ushahidi wa tuhuma zake na
suala hilo litarudishwa tena kwenye Bunge hilo kwa uamuzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BREAKIN NEWZZZ:- MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA ALIYEWAHI KUWAITA CUF MASHOGA LEO AZUKA NA JIPYA NA KUAMRIWA KURIPOTI MARA MOJA KAMATI YA MAADILI YA BUNGE LIVE!!”
Post a Comment