Thursday, March 27, 2014
MAOFISA USALAMA WAMWANGWA MIKUTANO YA KAMATI ZA BUNGE.
Do you like this story?
Ofisi ya bunge la katiba
imeweka maofisa usalama katika kumbi zote zinazotumika kufanya vikao vya
kamati.
maofisa usalama wapatao wanne wakiilinda katika kumbi zilizoko katika hoteli ya Dodoma ambako kamati namba tano na sita zinafanya vikao.
Katika kumbi zilizopo st
gasper pia hali ilikuwa hivyo nako
kulijaa maosifa usalama na polisi wanaoendelea kulinda kumbi mbili zinazotumika kwa mijadala hiyo.
Tumeenda pale
hatukuruhusiwa kukaa katika mabembea
hali ambayo ilitufanya kushindwa hata
kupata picha za uchaguzi wa mwenyeviti na makamu alisema mmoja
wa wapiga picha wa magazeti.
Awali mwenyekti wa bunge Samuel sitta
aliwatangazia wajumbe wa bunge hilo kuwa kutakuwa na ulinzi katika kumbi zote
za kamati aliwataka wajumbe hao kuvaa vitambulisho vyao wakati wote wanapokuwa katika kumbi hizo ilii maofisa usalama waweze
kuwatambua.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MAOFISA USALAMA WAMWANGWA MIKUTANO YA KAMATI ZA BUNGE.”
Post a Comment