Tuesday, March 25, 2014
TUTENGENEZE KATIBA YA KUMDHIBITI SHETANI.
Do you like this story?
Wajumbe wa bunge la katiba,
wameshauriwa kutengeneza katiba kama
vile shetani ndiye atayekuja kuiongoza nchi katika siku zijazo ili kuepusha
madhara yanayotokana na katiba mbovu.
Hayo yalisemwa na Edward
ole kakaita, alipokuwa akitoa mada katika
semina ya wajumbe wa bunge la katiba.
Semina hiyo ililenga kuwapitisha wajumbe wa bunge hilo kuhusu mapendekezo ya kuboresha
katika rasimu ya katiba hiyo kwa manufaa ya mafundi ya watumiaji wakuu
ardhi.
Mnapaswa kuweka maeneno
muhimu msidhani kuwa kiongozi atakayekuja kutawala siku zijazo atakuwa ni sawa na Rais Kikwete hapana.
Tusiache mambo muhimu mikonini mwa watawala. Tengeneze katika kama
kesho atakayekuja kutawala ni shetani alisema.
Alisema katiba inatakiwa
kujibu matangazo yanayowakabili wananchi
na kamwe wasiache kikundi cha watu
wachache cha bunge la jamhuri ya
muungano ndicho kiamue kuwatungia sheria itajayojibu matatizo yao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TUTENGENEZE KATIBA YA KUMDHIBITI SHETANI.”
Post a Comment