Tuesday, March 25, 2014

ASKARI, RAIA MAHAKAMANI DAR KWA UNYANG’ANYI.




Watu 15  wakiwamo askari  wanne wa jeshi  la polisi wame fikishwa katika Mahakama ya wilaya  ya kinondoni wakikabiliwa na kesi tatu tofauti zikiwa za unyang’anyi  wa kutumia silaha na wizi wa mali.

Miongoni mwa washtakiwa  wanaokabiliwa na kesi hizo ni askari E 6396  koplo rajabu  mkendwa(39) F 9414 PC abanus (32) , F 9412  PC seleman wengine ambao ni raia ni germane chaba (30), salum mussa (22), bahati  ahmed (35)  juma ngwele (50)  inar hyna (24) Charles  mbelwa (37) adam mkombozi (44) ally salum (37)  Gerald matutu (36),

Salum abdul na omar hamis  waisomewa mashtaka  yanayowakabili kwa nyakati tofauti  mahakamani hapo , waili wa serikali, massy bondo alidai  februari 17  2014 kwenye kituo cha mafuta cha kampuni ya GBP kilichopo maeneno ya boko basihaya washtakiwa germane salum , rajabu albamus, bahati , saimon na selemani waliiba mali yenye thamani y ash 77.3 milioni.

Bondo alidai kuwa licha ya washtakiwa hao kufanya  wizi huo walitishia  kuwaua joyce paul, Diana sostenes, ebeneza godfrey, na peter Lawrence kwa kutumia basola  na panga. Washtakiwa  walikana shata hilo na upane wa mshaka aulidai kuwa  upelelezi wa kesi hiyo bado haujajulikana  na hakimu athumani nymlan aliahirisha keshi hiyo hadi machi 28 2014.

Wakati huo huo wakili wa serikali Hilda kato alidai  kuwa machi 9 2014 katika eneo la  mbezi beach  washtakiwa rajab, juma albanus, salum , omar,Charles, adam, ally na Gerald waliiba  mali yenye thamani y ash 4.5  milioni.

Ilidai kuwa siku hiyo  ya tukio  watshatkiwa kabla  ya kuiba walitishia kuwaua susan  juan na nelson William.

Katika kesi nyingine wakili wa serikali tumaini mfikwa alidai kuwa machi 6  2014  katika eneo hilo la mbezi beach washtakiwa omar , salum,adam na Charles waliiba vitu mbalimbali vyenye thamani  y ash 49 millioni mali ya deogratius ngonyani.

0 Responses to “ASKARI, RAIA MAHAKAMANI DAR KWA UNYANG’ANYI.”

Post a Comment

More to Read