Tuesday, March 25, 2014
SIRI YA KUMKATAA WARIOBA YAFICHUKA.
Do you like this story?
Siku kadhaa tangu
mwenyekiti wa bunge la katiba Samuel sitta aahirishe bunge kutokana na vuruguzilizoibuka kumkataa jaji joseph warioba baadhi ya makada wa CCM wameeleza siri ya vurugu hizo.
Mbunge wa mwibara khangi
lugora kikubwa imejibu hoja za jaji
warioba waaliitarajia ndiyo maana kulikuwa na ubishi wa nani atangulie kuzungumza bungeni kati ya jaji joseph warioba na Rais Kikwete
kwa mujibu wa kanuni.
Hotuba ilikuwa ikijibu
hoja za jaji warioba na kwangu mimi nilikuwa naona kuwa Rais naye alikuwa anachangia katika kuitunga katiba kwa kupitia hotuba yake hiyo
tumeyasikia na sisi tuataenda kutafakari katika kuigunga katiba hiyo ambayo itakuwa ya watangazania wote alisema.
Mbunge wa viti maalumu
mkiwa kimwanga amesema
kilichofanyika ni kwamba Rais Kikwete
aliuja kwa ajili ya kutoa uamuzi kuhusu mchakato uliokuwa uanywe na bunge hilo.
Tulifikiri anakuja
kutuweka pamoja lakini ni kweli amekuja kupasua bunge kwa sababu amekuja kama mwenyekiti wa chama
na si Rais wa jamhuri ya muungano
wa Tanzania alisema.
Kwa upande wake professa ibrahimu lipumba amesema hakikutndea haki tume ya jaji warioba
na kwamba bunge hilo haliwezi kutengeneza rasimu mpya ya katiba ambayo inalenga katika mfumo wa serikali
mbili.
Itakuwa ni vigumu zaidi kupata
katiba mpya alikuwa anapinga
mambo ya msingi yanayoelezwa katika rasimu
ya kwanza. Hayo angeyaeleza katika hatua ya awali ili rasimu hiyo
ibadilishwe na si katika hatua hii ya mwisho kabla ya kwenda kupigiwa kura na
wnanchi alisema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “SIRI YA KUMKATAA WARIOBA YAFICHUKA.”
Post a Comment