Sunday, March 30, 2014
WAKONGWE WA UWANJA WA SOKOINE TIMU YA TANZANIA PRISONS YASHINDWA KUUTUMIA UWANJA HUO YARUHUSU WATOTO WA MJINI MBEYA CITY KUIBUKA NAUSHINDI WA GOLI MOJA KWA BILA.
Do you like this story?
![]() |
Biashara ikiwa inaendelea nje ya uwanja |
![]() |
Wachezaji wa Timu ya Maboresho ya Taifa Stars wakishuhudia mpambano. |
![]() |
wachezaji wa Mbeya City wakishangilia goli la kwanza katika kipindi cha kwanza dakika ya kwanza lililofungwa na Mchezaji Poul Nonga |
picha na Fahari news
MBEYA CITY NDO HABARI YA MJINI YAICHABANGA TPRISON 1 KWA NUNGE UWANJA WA SOKOINE MBEYA
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/03/mbeya-city-ndo-habari-ya-mjini.html#sthash.F0rG7nQ9.dpuffahari news
Ushindi wa goli moja kwa bila kwa timu ta Mbeya City imeiweka pabaya timu ya Tanzania Prisons ambayo inahitaji pointi nne na kuondoka na jinamizi la kushuka dalaja.
kutokana na matokwe hayo hivyo Tanzanai Prisons inategemea kudra za mwenyezi mungu katika mechi yake na JKT Oljoro itakayocheza Arusha wiki ya kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WAKONGWE WA UWANJA WA SOKOINE TIMU YA TANZANIA PRISONS YASHINDWA KUUTUMIA UWANJA HUO YARUHUSU WATOTO WA MJINI MBEYA CITY KUIBUKA NAUSHINDI WA GOLI MOJA KWA BILA.”
Post a Comment