Saturday, May 31, 2014
MC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA KUFA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!
Do you like this story?
MC maarufu
Gladys Chiduo maarufu kwa jina la MC Zipopamba (pichani) amenusirika kifo baada
ya gari kupata ajali na kumuua George Tyson.
Zipompa
ameuambia mtadao huu asubuhi hii kuwa yeye alikuwa kiti cha mbele na Tyson
pamoja watu wengine walikuwa viti vya nyuma na kilichomuokoa yeye ni kufunga
mkanda, kwani licha gari kupinduka na kuzunguruka mara tatu alipata majeraha
kidogo na hali yake inaendelea vyema kwa sasa akiwa hospitali ya Mkoa ya
Morogoro.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA KUFA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON! ”
Post a Comment