Saturday, May 31, 2014

MC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA KUFA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!



MC maarufu Gladys Chiduo maarufu kwa jina la MC Zipopamba (pichani) amenusirika kifo baada ya gari kupata ajali na kumuua George Tyson.

Zipompa ameuambia mtadao huu asubuhi hii kuwa yeye alikuwa kiti cha mbele na Tyson pamoja watu wengine walikuwa viti vya nyuma na kilichomuokoa yeye ni kufunga mkanda, kwani licha gari kupinduka na kuzunguruka mara tatu alipata majeraha kidogo na hali yake inaendelea vyema kwa sasa akiwa hospitali ya Mkoa ya Morogoro.

0 Responses to “MC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA KUFA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON! ”

Post a Comment

More to Read