Tuesday, June 3, 2014
WAMBURA , NDUMBARO NI PIGA NIKUPIGIE.
Do you like this story?
Aliyekuwa mgombea
wa nafasi ya rais katika uchaguzi wa simba unaotarajiwa kufanyika june 29 michael wambura amesema
hayupo tayari kulumbana na
mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi damas ndumbaro
kwani anaisubiri rufaa ya shirikisho
la soka Tanzania ifanye maamuzi yake.
Wambura amekata rufaa kwenye kamati ya rufaa ya TFF
kupinga kamati ya ndumbaro kumuengua kuwania nafasi hiyo kwa vile si
mwanachama halali wa simba.
Kauli ya wambura
imekuja siku moja baada ya ndumbaro
kudai kwamba ni tatizo kwenye
soka la Tanzania ktuoana na tabia zake
za kupenda kukimbilia mahakamani mara
kwa mara kitu ambacho ndicho kilichomuua na ndiyo maana kamati yake kupitia
kanuni imeamua kumaliz kwa mumzika.
Ndumaro alilazimika kuyasema haya juzi baada ya wambura kutuhumu kamati yake ya uchaguzi kamba imetawaliwa na
rushwa ya fedha ngono wambura aliyasema
hayo mapema wiki iliyopita alipowakilisha rufaa yak e TFF.
Wanachama wa simba
wasiyumbishwe na kauli ya
wambura kamati haijamuonea wala
haijapokea rushwa ya pesa wala ngono kupindisha
sheria huyu ni wa kupuuzwa kani
kama angekuwa mauelewa alipaswa kukata
rufaa na siyo kupakana matope kwa tuhuma zisizo na ushahidi alisema ndumbaro juzi akijibu tuhuma za wambura
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WAMBURA , NDUMBARO NI PIGA NIKUPIGIE.”
Post a Comment