Tuesday, September 23, 2014

KWA MARA NYINGINE TENA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA SERENGETI FIESTA NDIO HIYOOOOOOOO,TAREHE 28.9.2014 NISHIIIIIDAAAAAAAAH


Ni Sheedah.

Msanii wa kizazi kipya ambae anafanya vizuri sana kwenye Mziki wa Bongo Fleva Mo music nikati ya wasanii watakafanya Show ya Serengeti Fiesta Jijini Mbeya.

Msanii  kutoka Jijini Mbeya Ney wa Mitego akiwa na Msanii kutoka morogoro Stamina watakaofanya show Kwenye Jukwaa la Serengeti Fiesta Tarehe 28.9.2014 Mbeya.Mahali  ni City Pub.

Msanii Barnaba nae pia atafanya Show kali katika Serengeti Fiesta Mbeya


List Nzima ya Wasanii watakaopiga show Hii Hapa chini

Godzilla

TID

Linex

Mr Blue

Madee

Stamina

Barnaba

Ney Wa Mitego

Linah

Vanessa Mdee

Mo Music

Baraka Da Prince


0 Responses to “KWA MARA NYINGINE TENA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA SERENGETI FIESTA NDIO HIYOOOOOOOO,TAREHE 28.9.2014 NISHIIIIIDAAAAAAAAH ”

Post a Comment

More to Read