Wednesday, September 24, 2014

TROUBLE MAN T.I KUFANYA SHOW KATIKA KILELE CHA FIESTA DAR ES SALAAM.


Ni Sheedah

TI


Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam October 2014 Leaders Club Kinondoni. Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati za muziki kwa single yake ya No Mediocre.

0 Responses to “TROUBLE MAN T.I KUFANYA SHOW KATIKA KILELE CHA FIESTA DAR ES SALAAM.”

Post a Comment

More to Read