Wednesday, September 24, 2014
TROUBLE MAN T.I KUFANYA SHOW KATIKA KILELE CHA FIESTA DAR ES SALAAM.
Do you like this story?
![]() |
| Ni Sheedah |
![]() |
| TI |
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa
mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii
wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam
October 2014 Leaders Club Kinondoni. Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye
stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati
za muziki kwa single yake ya No Mediocre.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.gif)



0 Responses to “TROUBLE MAN T.I KUFANYA SHOW KATIKA KILELE CHA FIESTA DAR ES SALAAM.”
Post a Comment