Wednesday, September 14, 2016
MHASIBU WA TAKUKURU ANAYEMILIKI VIWANJA 25, NYUMBA 11 ZIKIWEMO GHOROFA 7 ATIMULIWA KAZI
Do you like this story?
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)
imemfukuza kazi Mhasibu wake baada ya kubainika ana utajiri mkubwa wenye utata
ikiwamo kumiliki nyumba saba za ghorofa na viwanja 25 hapa nchini.
Uamuzi huo umefuatia kutiwa hatiani na Kamati iliyoundwa na
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo,Valentino Mlowola. Mhasibu huyo amepewa nafasi
kukata rufaa katika kamati ya usimamizi ya TAKUKURU. Jina la Mhasibu huo
limehifadhiwa kwakuwa hakupatikana kuhojiwa na gazeti la Mwananchi.
Chanzo: Mwananchi,uk. 1&3
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MHASIBU WA TAKUKURU ANAYEMILIKI VIWANJA 25, NYUMBA 11 ZIKIWEMO GHOROFA 7 ATIMULIWA KAZI”
Post a Comment