Wednesday, May 3, 2017
PICHA,WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO KWA KUPANDA MITI
Do you like this story?
| waandishi wa habari mkoa wa Mbeya wakiwa katika stendi ya mabasi kabwe kwa ajili ya kwenda kuadhimisha siku ya maadhimisho ya vyombo vya habari kwa kupanda miti |
| Waandishi wakiwa katika maandamano kuelekea katika zoezi la upandaji miti |
| Waandishi wa habari wakiwa tayari kwa kuanza kupanda miti katika chanzo cha maji Nzovwe |
| Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Mbeya FRED HERBET akipanda mti katika kuadhimisha siku ya waandishi wa habari |
| JACKLINE CHARZ mtangazaji wa Mbeya fm akishiriki katika zoezi la upandaji mti katika kuadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari |
| Mwandishi wa gazeti la majira mkoa wa Mbeya Esther Macha akipanda mti kuadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari nchini |
| Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Mbeya ModestusNkulu akiongea na waandishi wa habari baada ya kupanda mti |
| Mara baada ya upandaji miti waandishi wa habari wakapiga picha ya pamoja |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.gif)

0 Responses to “PICHA,WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO KWA KUPANDA MITI”
Post a Comment