Thursday, June 12, 2014
12 Jun 2014 MOTO WATEKETEZA SOKO LA MITUMBA LA KARUME JIJINI DAR JANA USIKU
Do you like this story?
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka
ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa
Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto
usiku WA JANA.
Taarifa zilizotufikia katika meza ya habari usiku WA JANA zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
Taarifa zilizotufikia katika meza ya habari usiku WA JANA zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ 12 Jun 2014 MOTO WATEKETEZA SOKO LA MITUMBA LA KARUME JIJINI DAR JANA USIKU ”
Post a Comment