Wednesday, June 11, 2014
MBUNGE ASIITWE YESU
Do you like this story?
DODOMA. Spika ane makind
aamefuta jina la utani la yesu wa maswa alilokuwa akiitwa mbunge wa maswa mashriki slyvester kasulumbayi na matokeo yake akambatiza jina la nabii wa maswa.
Hayo yalitokea jana muda
mfupi baada ya naibu waziri wa maendelo
ya mifugo uvuvi katika saningo telel kulitaja jina la mbunge huyo kuwa naitwa yesu wa maswa.
Haya sasa nimesikia jina la
mbunge huyu lakini mimi nasema kuanzia leo asiitwe jina hilo na badala yake
napenda aanze kuitwa nabii wa maswa alisema makinda.
Wakati akijibu swali namb
219 mbunge huyo naibu waziri huyo alisema kuwa jina maarufu la mbunge huyo
akiwa jimboni kwake ni yesu wa maswa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MBUNGE ASIITWE YESU”
Post a Comment