Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli
( katikati) akipata maelekezo kutoka kwa Msimamizi wa matengenezo Luten
Kanali Abel Gwanafyo (Kushoto), kulia ni Mkuu wa Jeshi nla Maji
Brigadia Jenerali Rostian Laswai wakati wa ufunguzi wa kivuko hicho leo
jijini Dar es Salaam ,amabapo kinatarajiwa kuanza kutumika wiki hii
kurahisisha usafiri kwa watu wa Kigamboni. |
0 Responses to “UZINDUZI WA KIVUKO CHA MV KIGAMBONI.”
Post a Comment