Monday, October 26, 2015
MATOKEO YA UCHAGUZI KATA MBALIMBALI ZA WILAYA YA MAKETE
Do you like this story?
Msimamizi
msaidizi wa uchaguzi kata ya Luwumbu wilaya ya Makete mkoani Njombe usiku huu
wa saa 06:01 amemtangaza mgombea udiwani wa CCM kuwa ni mshindi wa kata hiyo
katika uchaguzi uliofanyika jana
Msimamizi huyo Bw Barton Mbedule
amemtaja Mgombea wa CCM Bw Enock Ngajilo kuwa ameibuka mshindi kwa kupata kura
588 dhidi ya mgombea wa CHADEMA aliyepata kura 284
hapa chini ni matokeo ya udiwani tu
Kata ya
Ipelele, Alimivu Sanga wa CCM amepata kura 882 na Mwipelele Mbogela amepata
kura 1,074, hivyo kutangazwa mshindi
Kata ya Bulongwa mgombea wa CHADEMA amepata kura 595 na Benayo Luvanda wa CCM amepata kura 793
kata ya Kipagalo Reuben Mwandilava wa CCM amepata kura 765 Alfred Nsemwa wa CHADEMA amepata kura 643
Kata ya Iwawa Baton Sanga ACT-Wazalendo amepata kura 39, Ona Nkwama wa CCM amepata kura 2,107 Asifiwe Luvanda wa CHADEMA amepata kura 2,206 na ndio aliyeibuka Mshindi
Katika kata ya Isapulano Dadiso Tweve ACT - Wazalendo amepata kura 277, Aginiwe Mahenge wa CCM amepata kura 406, na Alphonce Mbilinyi wa CHADEMA amepata kura 485
Kata ya Ukwama mgombea wa CHADEMA Vasco Chaula amepata kura 330, na mgombea wa CCM Augustino Luota amepata kura 947
Kata ya Iniho mgombea wa CHADEMA amepata kura 437 na mgombea wa CCM Jison Mbalizi amepata kura 958
Kata ya Mang'oto mgombea wa CHADEMA amepata kura 224 na mgombea wa CCM Othmund Idawa ameibuka mshindi kwa kupata kura 923
nyingine zinakuja, endelea kutufuatilia
Kata ya Bulongwa mgombea wa CHADEMA amepata kura 595 na Benayo Luvanda wa CCM amepata kura 793
kata ya Kipagalo Reuben Mwandilava wa CCM amepata kura 765 Alfred Nsemwa wa CHADEMA amepata kura 643
Kata ya Iwawa Baton Sanga ACT-Wazalendo amepata kura 39, Ona Nkwama wa CCM amepata kura 2,107 Asifiwe Luvanda wa CHADEMA amepata kura 2,206 na ndio aliyeibuka Mshindi
Katika kata ya Isapulano Dadiso Tweve ACT - Wazalendo amepata kura 277, Aginiwe Mahenge wa CCM amepata kura 406, na Alphonce Mbilinyi wa CHADEMA amepata kura 485
Kata ya Ukwama mgombea wa CHADEMA Vasco Chaula amepata kura 330, na mgombea wa CCM Augustino Luota amepata kura 947
Kata ya Iniho mgombea wa CHADEMA amepata kura 437 na mgombea wa CCM Jison Mbalizi amepata kura 958
Kata ya Mang'oto mgombea wa CHADEMA amepata kura 224 na mgombea wa CCM Othmund Idawa ameibuka mshindi kwa kupata kura 923
nyingine zinakuja, endelea kutufuatilia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ MATOKEO YA UCHAGUZI KATA MBALIMBALI ZA WILAYA YA MAKETE”
Post a Comment