Thursday, October 15, 2015
MWILI WA WAZIRI KIGODA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA
Do you like this story?
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, enzi za uhai wake. |
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda akijumuika na Watanzania wengine kuupokea mwili wa marehemu Kigoda. |
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli naye yupo kuungana na Watanzania wengine kuupokea mwili wa Kigoda. |
Ndugu, Jamaa na marafiki wakiusubiri kuupokea mwili wa Kigoda. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MWILI WA WAZIRI KIGODA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA”
Post a Comment