Monday, March 7, 2016
MGUNDUZI WA E-MAIL RAY TOMLINSON AFARIKI DUNIA.
Do you like this story?
Ray Tomlinson enzi za uhai wake. |
RAY
Tomlinson, raia wa Marekani, ambaye ndiye aliyevumbua utumaji wa barua pepe kwa
Kiingereza e-mail amefariki dunia.
Tomlinson amefariki akiwa na umri wa miaka
74.
Mgunduzi huyu aliibuka na wazo la kutuma ujumbe wa kieletroniki kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia mitandao mbali mbali mwaka 1971.
Mgunduzi huyu aliibuka na wazo la kutuma ujumbe wa kieletroniki kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia mitandao mbali mbali mwaka 1971.
Aliandika ujumbe wa kwanza wa barua pepe
wakati akifanya kazi Boston, kama Mhandisi wa kompyuta.
Pia
alikuwa mwanzilishi wa matumizi ya alama “at”(@)kuwa ndio alama kuu ya utumaji
wa barua pepe.
Wakati wa uhai wake Tomlinson alisema hawezi kukumbuka barua pepe yake ya kwanza ilielezea nini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ MGUNDUZI WA E-MAIL RAY TOMLINSON AFARIKI DUNIA.”
Post a Comment