Sunday, March 6, 2016
RAIS MAGUFULI AMEMTEUA BALOZI MHANDISI JOHN KIJAZI KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI MPYA IKULU
Do you like this story?
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli
amemteua, Balozi Mhandisi John William Kijazi (pichani) kuwa Katibu Mkuu
Kiongozi Ikulu.
Kwa mujibu taarifa rasmi, kwa vyombo vya Habari, iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi
wa Mawasiliano ya Ikulu ya Tanzania, Gerson Msigwa kama inavyosomeka hapa
chini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ RAIS MAGUFULI AMEMTEUA BALOZI MHANDISI JOHN KIJAZI KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI MPYA IKULU”
Post a Comment