Friday, March 4, 2016
RATIBA YA LIGI KUU YA VODACOM (VPL) KESHO JUMAMOSI
Do you like this story?
Jumamosi ya Machi, 5 kunataraji kuendelea kwa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL)
kwa michezo saba.
Mchezo unaotazamiwa kusubiriwa na mashabiki wengi wa soka nchini ni
mchezo wa Azam ambayo itakuwa mwenyeji wa Yanga, mchezo utakaochezwa katika
uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.
Ratiba ya michezo mingine ni;
Africans Sports – Maji Maji
Toto Africans – Ndanda
Kagera Sugar – Mgambo JKT
JKT Ruvu – Mwadui
Tanzania Prisons – Stand United
Mtibwa Sugar – Coastal Union
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ RATIBA YA LIGI KUU YA VODACOM (VPL) KESHO JUMAMOSI”
Post a Comment