Thursday, September 1, 2016
NHC WAONDOA VIFAA BILICANAS
Do you like this story?
NHC wameanza kuondoa vifaa kwenye Jengo la
Bilicanas jijini Dar es Salaam. Itakumbukwa wiki chache zilizopita NHC walitoa
majina ya wadaiwa ikiwemo Jengo la Bilicanas lililopangishwa na Mwenyekiti wa
Chadema Freeman Mbowe.
Jengo hilo pia lina ofisi za gazeti la
Tanzania Daima ambalo pia linamilikiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)



0 Responses to “NHC WAONDOA VIFAA BILICANAS”
Post a Comment