Thursday, September 1, 2016
RAIS WA BRAZIL ANG’OLEWA MADARAKANI NA WABUNGE
Do you like this story?
Rais
wa Brazil ameondolewa madarakani kwa kura 61 zilizopigwa na wabunge za kuto
kuwa na imani na Rais wao
Makamo
wake Michel Temer ameapishwa kuwa Raisi mpya wa Brazil mpaka pale uchaguzi
mwingine utakapo fanyika January 2019
Rais
Mpya wa Brazil Michel Temer amesema nchi yake inaingia katika enzi mpya ya
matumaini baada ya kuondoshwa madarakani kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Dilma
Rousseff.
Akizungumza
na taifa hilo kupitia Televisheni, Rais Temer ametoa wito wa kuungana pamoja na
kusema kuwa kuondolewa madarakani kwa bibi Rousseff kumemaliza miezi kadhaa ya
mashaka.
Rais
huyo amekutwa na hatia ya udanganyifu wa bajeti ya nchi hiyo wakati wa kampeni
zake za uchaguzi miaka miwili iliyopita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

0 Responses to “RAIS WA BRAZIL ANG’OLEWA MADARAKANI NA WABUNGE”
Post a Comment