Thursday, September 1, 2016
TUKIO LA KUPATWA KWA JUA MBARALI MBEYA.
Do you like this story?
| Watoto wakiwa wanashuhudia kupatwa kwa Jua. |
| hata vifaa hivi vya Mafundi wa Kuchomelea vilikuwepo katika tukio kubwa la kupatwa kwa Jua. |
| Watalii kutoka Nchi Mbalimbali pia walifika kushuhudia tukio la kupatwa kwa Jua. |
| Mwonekano jinsi jua lilivyokuwa likitokea katka Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbarali Rujewa. |
| Pia Polisi nao walikuiwepo kushuhudia tukio la kupatwa kwa Jua. |
| Wanafunzi wa Shule za Msingi wakishuhudia kupatwa kwa Jua. |
| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makalla akiwa na wanafunzi wa Shule za Msingi akiwaonyesha Jinsi Jua linavyoonekana |
| Watalii kutoka Swedeni Ujerumani pia wakiwa na Vifaa Maalumu vya kutizamia Jua. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

0 Responses to “TUKIO LA KUPATWA KWA JUA MBARALI MBEYA.”
Post a Comment