Sunday, September 11, 2016
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA WAONGOZA WAKAZI WA BUKOBA KUAGA MIILI YA WALIOFARIKI KWA TETEMEKO.
Do you like this story?
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa leo ameongoza waombolezaji
kuaga miili ya watu 16 waliopoteza maisha kwenye tetemeko la ardhi lililotokea
jana mkoani Kagera.
Zoezi
hilo la kuaga miili limefanyika katika Uwanja wa Kaitaba uliopo Bukoba Mjini
mkoani Kagera.
Jumla
ya watu 16 wamefariki dunia huku zaidi ya 200 wakijeruhiwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)



0 Responses to “WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA WAONGOZA WAKAZI WA BUKOBA KUAGA MIILI YA WALIOFARIKI KWA TETEMEKO.”
Post a Comment