Saturday, December 10, 2016
RAIS DKT. MAGUFULI LEO AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU
Do you like this story?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Christopher Olonyokie Ole -Sendeka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhandisi Mathew Mtigumwe kuwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Kilimo Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Grace Alfred Martin kuwa Mkuu wa Itifaki kutoka Wizara ya mambo ya Nje Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ RAIS DKT. MAGUFULI LEO AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU”
Post a Comment