Monday, March 31, 2014
BALOZI SABA ZA KATA YA ISANGA ZAUNGANA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA.
Do you like this story?
![]() |
Baadhi ya kina mama wakiwa wanafanya maendeleo ya Mtaa. |
![]() |
Mwenyekiti wa mtaa wa mitaa kata ya Isanga Bw Emanuel Mwaipaja akiwa anafanya maendeleo ya Barabara ya Mtaa. |
![]() |
balozi wa Mtaa wa Mitaa Bw( Emanuel Malekela aliyeinama)akiwa anafanya Maendeleo ya Mtaa,aliye simama ni( Bw Hamis Mosh) |
Picha na Fahari News.
JUMLA ya Barozi Saba katika Kata ya
Isanga jijini Mbeya zimeungana katika
kutengeneza miundombinu ya barabara katika Mtaa wa Mita
ambayo ilikuwa jatika hali mbaya mara baada ya kuharibiwa na mvua.
Akizungumzia hali hiyo Mmoja wa
Mabarozi walioshiriki katika shughuli hiyo Ndugu Emanuel Malekela amesema
wameamua kuchukua jukumu la kurekebisha barabara hiyo kutokana na kuwa tegemezi
kwa mitaa hiyo.
Amesema kwa muda mrefu sasa wamekuwa
wakitoa mapendekezo kwa halimashauri ya
jiji juu ya kuwasaidia kutengeneza barabara hiyo lakini wamekuwa hawatekelezi
kwa kudai kuwa barabara hiyo ni ndogo hivyo haifai kufanyiwa matengenezo.
Amesema mara baada ya Halmashauri ya
jiji kuwakatalia juu ya kuboresha barabara hiyo waliamua kukutana viongozi wote
wa mtaa na kuazimia kiboresha barabara hiyo kwa kuwashirikisha wananchi wa
mitaa hiyo.
Amesema kwa kiwango kikubwa wananchi
waliitikia wito huo na kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo ya maenedeleo
hali ambayo iliwatia moyo kuwa wanauwezo wa kufanya vitu vingine vya
kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Amesema nivema sasa wananchi
wakaachana na utegemezi kwa wanasiasa au kuweka maslahi ya vyama badala yake
waungane pamoja katika kuleta maendeleo katika maeneo yao.
Hata hivyo wameiomba
serikali kupeleka vifusi vya udongo
kwenye barabara hiyo ili kuongeza uimara zaidi hasa kutokana na mvua
zinazoendelea kunyesha ambazo zinaweza zikafanya uhalibifu kwenye barabara
hiyo.
.
Hata hivyo kwa baadhii ya wananchi wa mtaa huo wa Mita
walioshiriki katika katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo wamesema kuwa
wamepata moyo wa kushiriki katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo hasa
kutokana na kushiriki kwa viongozi wao.
JUMLA ya Barozi Saba katika
Kata ya Isanga jijini Mbeya zimeungana katika kutengeneza miundombinu ya barabara katika Mtaa wa Mita ambayo
ilikuwa jatika hali mbaya mara baada ya kuharibiwa na mvua.
Akizungumzia hali hiyo Mmoja
wa Mabarozi walioshiriki katika shughuli hiyo Ndugu Emanuel Malekela amesema
wameamua kuchukua jukumu la kurekebisha barabara hiyo kutokana na kuwa tegemezi
kwa mitaa hiyo.
Amesema kwa muda mrefu sasa
wamekuwa wakitoa mapendekezo kwa halimashauri ya jiji juu ya kuwasaidia kutengeneza barabara
hiyo lakini wamekuwa hawatekelezi kwa kudai kuwa barabara hiyo ni ndogo hivyo
haifai kufanyiwa matengenezo.
Amesema mara baada ya Halmashauri
ya jiji kuwakatalia juu ya kuboresha barabara hiyo waliamua kukutana viongozi
wote wa mtaa na kuazimia kiboresha barabara hiyo kwa kuwashirikisha wananchi wa
mitaa hiyo.
Amesema kwa kiwango kikubwa
wananchi waliitikia wito huo na kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo ya
maenedeleo hali ambayo iliwatia moyo kuwa wanauwezo wa kufanya vitu vingine vya
kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Amesema nivema sasa wananchi
wakaachana na utegemezi kwa wanasiasa au kuweka maslahi ya vyama badala yake
waungane pamoja katika kuleta maendeleo katika maeneo yao.
Hata hivyo wameiomba serikali kupeleka vifusi vya udongo kwenye barabara hiyo
ili kuongeza uimara zaidi hasa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo
zinaweza zikafanya uhalibifu kwenye barabara hiyo.
.
Hata hivyo kwa baadhii ya wananchi wa mtaa huo wa Mita walioshiriki
katika katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo wamesema kuwa wamepata
moyo wa kushiriki katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo hasa kutokana
na kushiriki kwa viongozi wao.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/03/wananchi-sasa-waachana-na-utegemezi-kwa.html#sthash.6bMle87c.dpuf
JUMLA ya Barozi Saba katika
Kata ya Isanga jijini Mbeya zimeungana katika kutengeneza miundombinu ya barabara katika Mtaa wa Mita ambayo
ilikuwa jatika hali mbaya mara baada ya kuharibiwa na mvua.
Akizungumzia hali hiyo Mmoja
wa Mabarozi walioshiriki katika shughuli hiyo Ndugu Emanuel Malekela amesema
wameamua kuchukua jukumu la kurekebisha barabara hiyo kutokana na kuwa tegemezi
kwa mitaa hiyo.
Amesema kwa muda mrefu sasa
wamekuwa wakitoa mapendekezo kwa halimashauri ya jiji juu ya kuwasaidia kutengeneza barabara
hiyo lakini wamekuwa hawatekelezi kwa kudai kuwa barabara hiyo ni ndogo hivyo
haifai kufanyiwa matengenezo.
Amesema mara baada ya Halmashauri
ya jiji kuwakatalia juu ya kuboresha barabara hiyo waliamua kukutana viongozi
wote wa mtaa na kuazimia kiboresha barabara hiyo kwa kuwashirikisha wananchi wa
mitaa hiyo.
Amesema kwa kiwango kikubwa
wananchi waliitikia wito huo na kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo ya
maenedeleo hali ambayo iliwatia moyo kuwa wanauwezo wa kufanya vitu vingine vya
kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Amesema nivema sasa wananchi
wakaachana na utegemezi kwa wanasiasa au kuweka maslahi ya vyama badala yake
waungane pamoja katika kuleta maendeleo katika maeneo yao.
Hata hivyo wameiomba serikali kupeleka vifusi vya udongo kwenye barabara hiyo
ili kuongeza uimara zaidi hasa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo
zinaweza zikafanya uhalibifu kwenye barabara hiyo.
.
Hata hivyo kwa baadhii ya wananchi wa mtaa huo wa Mita walioshiriki
katika katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo wamesema kuwa wamepata
moyo wa kushiriki katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo hasa kutokana
na kushiriki kwa viongozi wao.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/03/wananchi-sasa-waachana-na-utegemezi-kwa.html#sthash.6bMle87c.dpuf
JUMLA ya Barozi Saba katika
Kata ya Isanga jijini Mbeya zimeungana katika kutengeneza miundombinu ya barabara katika Mtaa wa Mita ambayo
ilikuwa jatika hali mbaya mara baada ya kuharibiwa na mvua.
Akizungumzia hali hiyo Mmoja
wa Mabarozi walioshiriki katika shughuli hiyo Ndugu Emanuel Malekela amesema
wameamua kuchukua jukumu la kurekebisha barabara hiyo kutokana na kuwa tegemezi
kwa mitaa hiyo.
Amesema kwa muda mrefu sasa
wamekuwa wakitoa mapendekezo kwa halimashauri ya jiji juu ya kuwasaidia kutengeneza barabara
hiyo lakini wamekuwa hawatekelezi kwa kudai kuwa barabara hiyo ni ndogo hivyo
haifai kufanyiwa matengenezo.
Amesema mara baada ya Halmashauri
ya jiji kuwakatalia juu ya kuboresha barabara hiyo waliamua kukutana viongozi
wote wa mtaa na kuazimia kiboresha barabara hiyo kwa kuwashirikisha wananchi wa
mitaa hiyo.
Amesema kwa kiwango kikubwa
wananchi waliitikia wito huo na kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo ya
maenedeleo hali ambayo iliwatia moyo kuwa wanauwezo wa kufanya vitu vingine vya
kimaendeleo bila kutegemea serikali.
Amesema nivema sasa wananchi
wakaachana na utegemezi kwa wanasiasa au kuweka maslahi ya vyama badala yake
waungane pamoja katika kuleta maendeleo katika maeneo yao.
Hata hivyo wameiomba serikali kupeleka vifusi vya udongo kwenye barabara hiyo
ili kuongeza uimara zaidi hasa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo
zinaweza zikafanya uhalibifu kwenye barabara hiyo.
.
Hata hivyo kwa baadhii ya wananchi wa mtaa huo wa Mita walioshiriki
katika katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo wamesema kuwa wamepata
moyo wa kushiriki katika shughuli za ukarabati wa barabara hiyo hasa kutokana
na kushiriki kwa viongozi wao.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/03/wananchi-sasa-waachana-na-utegemezi-kwa.html#sthash.6bMle87c.dpuf
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BALOZI SABA ZA KATA YA ISANGA ZAUNGANA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA.”
Post a Comment