Friday, March 21, 2014
MTANDAO WA TWITTER KUFUNGWA.
Do you like this story?
Mtandao wa kijamii wa, Twitter, unafungwa nchini
Uturuki, saa chache baada ya waziri mkuu, Recep Tayyip Erdogan,
kuahidi kuuondoa.
Bwana Erdogan -- ambaye anakabiliwa na kashfa
kubwa ya ufisadi aliwaambia maelfu ya wafuasi wake katika mkutano wa
uchaguzi kuwa hajali kuhusu namna jamii ya kimataifa itakavyochukulia
hatua yake.
Neelie Kroes, ambaye ni naibu rais wa tume ya muungano wa Ulaya amesema umamuzi wa kufungwa kwa mtandao huo ni wa kulaumiwa.
Serikali ya Bwana Erdogan imekuwa ikilalamika
kuwa mtandao wa Twitter ulipuuza uamuzi wa mahakama ulioitaka
viunganishi vya taarifa zake vinashukiwa kurekodi mawasiliano yake
binafsi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MTANDAO WA TWITTER KUFUNGWA.”
Post a Comment