Wednesday, March 26, 2014
RC MARA AFARIKI DUNIA GHAFLA.
Do you like this story?
Mkuu wa mkoa wa mara john
tuppa afariki dunia baada ya kuanguka
ghafla kutoka kwenye kiti alichoketi
wakati akishiriki kikao cha kamati ya ulinzi na usalama wilayani tarime.
Taarifa kutoka ndani ya
kikao zilidai kuwa kabla ya kufikwa na mauti tuppa alisalimiana na wajumbe wa kamati hiyo
kabla ya kuanza kikao.
Baada ya kuanguka
alipelekwa katika hospitali ya wilaya ya
tarime ambako alifariki dunia wakati
akipewa matibabu.
Kikao hicho kilikuwa maandalizi ya kukabidhi vyeti kwa vijana waliomaliza mafunzo ya mgambo
kijiji cha nyamwaga wilayani tarime mafunzi hayo yameandaliwa na kikundi cha uliinzi cha nyabigenda security cooperative ltd.
Akitangaza kifo hicho katibu tawala mkoa wa mara bendicto ole kuyani amesema tuppa alionekana mwenye afya
njema jana asubuhi kabla ya kuelekea tarime kikazi.
Kuyani amesema tuppa
hakuwa na historia ya kusumbuliwa na ugonjwa wowote ingawa taarifa zisizo
rasmi zilidai kuwa chanzo cha
kifo ni shinikizo la damu.
Mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya
tarime, DK nega nyakabogo alithibitisha
kifo hicho . “tulimpokea akiwa
kwenye
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “RC MARA AFARIKI DUNIA GHAFLA.”
Post a Comment