Wednesday, March 26, 2014
WANAWAKE WAHUSISHWA NA JINSIA ZA KIUME.
Do you like this story?
Mjumbe wa bunge la katiba
faida bakari amelalamika baadhi ya wajumbe
wanawake kuandikwa ni wanaume katika orodha ya kamati za bunge iliyotangazwa
mjini Dodoma.
Akizungumza bungeni faida
alitaja baadhi ya majina yaliyoandikwa
kuwa ni wanaume ni muhonga ruhanywa na asma ali na kimsingi hili limemkera.
“majina haya
yaangaliwe upya wanawake wameandikwa ‘me’ (wanaume) inawezekana na
wanaume wameandikwa ‘ke’ (wanawake)
alisema.
Akijibu hoja hiyo mwenyekiti
wa bunge Samuel sitta alitaka sekretarieti
kuangalia na kusahihisha jambo hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WANAWAKE WAHUSISHWA NA JINSIA ZA KIUME.”
Post a Comment