Saturday, March 22, 2014

TASWIRA ZA RAIS KIKWETE BAADA YA KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOM MACHI 21, 2014.



 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Samuel Sitta mara baada ya kulihutubia Bunge hilo Ijumaa  mjini Dodoma Machi 21, 2104
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Samuel Sitta mara baada ya kulihutubia Bunge hilo Ijumaa  mjini Dodoma Machi 21, 2104

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa pongezi kwa hotuba nzuri na Makamu  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samia  Suluhu Hassan mara baada ya kulihutubia Bunge hilo Ijumaa  mjini Dodoma Machi 21, 2104

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein,  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Samuel Sitta na Makamu  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Suluhu Samia Hassan wakifurahia jambo mara baada ya Rais  kulihutubia Bunge hilo Ijumaa  mjini Dodoma Machi 21, 2104.PICHA NA IKULU

0 Responses to “ TASWIRA ZA RAIS KIKWETE BAADA YA KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOM MACHI 21, 2014.”

Post a Comment

More to Read