Katibu Mkuu Wizara ya
Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo, Dkt.Ali Mwinyikai,akiwasilisha
mpango wa utekelezaji wa mpamgo wa kazi wa Wizara hiyo katika kipindi
cha robo mwaka kutoka Julai -Machi 2013/2014,katika kikao kilichofanyika
jana jioni ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar, chini ya Mwenyekiti
wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein,(hayupo pichani) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali
Iddi (kushoto).[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] |
0 Responses to “RAIS DK. SHEIN AZUNGUMZA NA WIZARA YA HABARI.”
Post a Comment